Lirik Terjemahan
Namaanisha Lyrics - Lomodo
Ditulis
Anonim
Selasa, 11 Agustus 2020
♪ Namaanisha
Lomodo
π
Namaanisha Lyrics By Lomodo
Iyee mmmmh Naahidi nitakupenda mpaka kifo
Kitutenganishe
Tuvuke majangwa na mafuriko
Kwenye baridi
Wewe ndo wangu jiko
Acha kuni nichochee
Unanipa joto
Eh sema utakacho mie sawa
Sitabishana
Waseme utakavyo mie chawa
Tukiongozana
We ndo wangu paracetamol
Watuliza maumivu ya moyo
Sina mwingine oooh ma yoo
Na maneno yasiyozidi kimo
Yakaleta gharika ya moyo
Wasitukalie vikao
Namaanisha, ninamaanisha
Namaanisha, ninamaanisha
Na nikisema nakupenda
Basi ujue namaanisha
Chizi mto kwa midenda
Kwa verse natiririka
Ooh baby mi mwenzako
Nimezama vibaya yaya
Sijiwezi
Usinitupe ukamakaya yaya
Nisipokuona mi roho juu juu
Nikikuona tu napata nafuu
Sitaki kuota njia ni wewe tu
Harufu manukato we ndo karafuu
Na kama tiba
We ndo wangu paracetamol
Watuliza maumivu ya moyo
Sina mwingine ooh ma yoo
Na maneno yasiyozidi kimo
Yakaleta gharika ya moyo
Wasitukalie vikao
Namaanisha, ninamaanisha
Namaanisha, ninamaanisha
Welcome to the article about Namaanisha song lyrics sung by Lomodo artists. This song was published in 2020 and can already be watched and heard on Youtube, joox and Sportify. The following is information about Namaanisha song lyrics If you want to listen and download Namaanisha songs, please visit Original Music Media such as Joox, Sportify, iTunes and other Digital Media. This website only provides Namaanisha Song Lyrics